Kwa barua ya Papa iliyochapishwa Julai 25, 2015 , iliyotangaza kumteua Kardinali Kurt Koch, Rais wa Baraza la Kipapa kwa Kukuza Umoja wa Kikristo, kama Mjumbe Maalum wa Baba Mtakatifu katika maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka kuhitimisha 1500 ya kuanzishwa kwa Abasia ya Mtakatifu Mourice (Switzerland), Kardinali atashiriki katika maadhimisho hayo hapo Septemba 22, 2015.
Na kwamba Kardinali Kurt Koch ataandamana na viongozi wengine wafuatao:. Markus Bùchel, Askofu wa Sankt Gallen na Rais wa Baraza la Maaskofu la Uswisi, na Padre Marc de Pothuau, O.Cist., Abate wa abasia ya Hauterive, Fribourg.
All the contents on this site are copyrighted ©. |