Rais Ivanov wa Macedonia akutana na Papa Francisko mjini Vatican
Baba Mtakatifu Francisko, Jumatano tarehe 21 Mei 2014 amekutana na kuzungumza na Rais
wa Gjorgje Ivanov wa Jamhuri ya Macedonia, iliyokuwa Yugoslavia ya zamani pamoja na
ujumbme wake. Viongozi hawa wawili wamejadili masuala ya kitaifa na kimataifa kwa
ajili ya ustawi na maendeleo ya wengi!