2014-04-28 14:40:22

Makardinali waweka mikakati kwa IOR


Tume ya Makardinali inayodhibiti Benki ya Vatican, IOR, Jumatatu tarehe 28 Aprili 2014 amefanya kikao chake cha kawaida, ili kuweka mbinu mkakati wa utekelezaji wa shughuli zake katika Benki hii. Tume hii imeamua kwamba, itakuwa inakutana mara tatu kwa mwaka, kama hakutakuwa na jambo la dharura litakaloilazimisha tume hii kukutana nje ya utaratibu huu.







All the contents on this site are copyrighted ©.