2014-04-18 08:54:38

Ijumaa Kuu Papa kuongoza Ibada ya Njia ya Msalaba- Koloseo


Ijumaa Kuu Baba Mtakatifu Francisko majira ya saa tatu na nusu za usiku, ataongoza Ibada ya njia ya Msalaba katika eneo la magofu ya Koloseo ya mjini Roma. Tafakari katika za Ibada hii zimeandaliwa na Askofu Mkuu Giancarlo Bregantini wa JImbo Kuu la Campobasso Boiano.









All the contents on this site are copyrighted ©.