Ijumaa Kuu Papa kuongoza Ibada ya Njia ya Msalaba- Koloseo
Ijumaa Kuu Baba Mtakatifu Francisko majira ya saa tatu na nusu za usiku, ataongoza
Ibada ya njia ya Msalaba katika eneo la magofu ya Koloseo ya mjini Roma. Tafakari
katika za Ibada hii zimeandaliwa na Askofu Mkuu Giancarlo Bregantini wa JImbo Kuu
la Campobasso Boiano.