Kundi la kwanza la Maaskofu Katoliki Tanzania waliokutana na kuteta “mawili, matatu”
na Baba Mtakatifu Francisko wakati wa hija yao ya kitume mjini Vatican, tarehe 4 Aprili
2014 ni kama ifuatayo:
* Askofu Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga, Jimbo
Katoliki Dodoma
* Askofu Salutaris Melchior Libena, Jimbo Katoliki Ifakara
* Askofu Agapiti Ndorobo, Jimbo Katoliki Mahenge
* Askofu Telesphor
Mkude, Jimbo Katoliki Morogoro
* Askofu Augustine Shao, Jimbo Katoliki
Zanzibar
* Askofu mkuu Paul R. Ruzoka, Jimbo kuu la Tabora na msimamizi wa
kitume Jimbo Katoliki Kigoma
* Askofu Ludovick Joseph Minde, Jimbo Katoliki
Kahama
* Askofu Damian Kyaruzi, Jimbo Katoliki Sumbawanga Msimamizi wa Kitume
Jimbo Katoliki Mpanda
* Askofu msaidizi Eusebius Alfred Nzigilwa, Jimbo kuu
la Dar es Salaam.