Ni jambo la muhimu kwa mtu kuwa na rafiki ambaye ana mwamini na kumthamini, mtu ambaye
anaweza kumshirikisha undani wa maisha yake kwa uhuru kamili. Baba Mtakatifu Francisko
katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anasema kwamba, ni vyema kuwa
na rafiki unayemwamini.
Lakini ni jambo bora zaidi kuwa na imani kwa Kristo,
ambaye kamwe hamwezi kudanganya!