Askofu mkuu Franco Coppola ateuliwa kuwa ni Balozi Mpya wa Vatican nchini Jamhuri
ya Watu wa Afrika ya Kati
Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu mkuu Franco Coppola kuwa Balozi Mpya wa Vatican
nchini Jamhuri ya Watu wa Afrika ya Kati, Kabla ya uteuzi huu, Askofu mkuu Franco
Coppola alikuwa ni Balozi wa Vatican nchini Burundi.