Askofu mkuu Ilson de Jesùs Montanari ateuliwa kuwa Katibu mkuu wa Dekania ya Makardinali
Baba Mtakatifu Francisko, amemteua Askofu mkuu Ilson de Jesus Montanari kuwa Katibu
mkuu wa Dekano ya Makardinali. Ataendelea pia kuwa ni Katibu mkuu wa Baraza la Kipapa
kwa ajili ya Maaskofu.