Askofu mkuu Martin Krebs ateuliwa kuwa Balozi wa Vatican kwenye Visiwa vya Tonga
Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu mkuu Martin Krebs kuwa Balozi Mpya wa Vatican
kwenye Kisiwa cha Tonga. Ataendelea pia kuwa ni Balozi wa Vatican kwenye Visiwa vya
News land, Cook, Fiji, Kiribati, Palau, Samoa, Jamhuri ya Watu wa Asia ndogo.
Askofu
mkuu Krebs atakuwa pia ni Mwakilishi wa kitume kwenye Bahari ya Pacific.