Papa aridhia uteuzi wa Wajumbe wa Tume ya Kipapa kwa ajili ya Amerika ya Kusini
Baba Mtakatifu Francisko ameridhia uteuzi wa Kardinali Marc Ouellet, Rais wa Tume
ya Kipapa kwa ajili ya Amerika ya Kusini; Professa Guzman Carriquary, Katibu pamoja
na kuridhia uteuzi wa wajumbe waliokuwa wanaunda Tume hii.
Baba Mtakatifu
ameteuwa pia baadhi ya wajumbe ili kuongeza tija na ufanisi zaidi.