Furaha ya Injili iendelee kububujika mioyoni mwenu wakati wa Noeli!
Mama Kanisa anaendelea kuadhimisha Oktava katika Kipindi hiki cha Noeli. Baba Mtakatifu
Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anawaalika kuhakikisha
kwamba, Furaha ya Injili daima inajikita katika mioyo yao, hasa katika kipindi hiki
cha Noeli.