Katika ulimwengu wa utandawazi usiojali wala kuguswa na mahangaiko na shida za jirani,
Baba Mtakatifu Francisko anawauliza watumiaji wa mitandao ya kijamii, Je, ukikutana
na mtu anakuomba msaada, uko tayari kusimama na kumsaidia kadiri ya uwezo wako?
Baba
Mtakatifu anasema, kuna umaskini mkubwa wa hali na kipato na kwamba kuna idadi kubwa
ya watu wenye shida na mahangaiko ya ndani wanaohitaji kukutana na Wasamaria wema!