Tumieni karama na vipaji vyenu kwa ajili ya huduma ya Injili
Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii,
anawaalika vijana kuhakikisha kwamba, wanatumia karama na vipaji walivyokirimiwa na
Mwenyezi Mungu kwa ajili ya huduma ya Injili, kwa kukazia kipaji cha ugunduzi na upendo
usiokuwa na mipaka.