Mama Kanisa anapokianza kipindi cha Majilio, nafasi ya kujiandaa kwa ajili ya ujio
wa Kristo katika hija ya maisha ya binadamu, Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe
wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anasema, Mama Kanisa anawaalika watu wote
kukumbatia huruma na msamaha unaopata chimbuko lake kutoka kwa Mwenyezi Mungu.