Ijumaa , Papa Francisko alitangaza kumtea Mons. José Luis Gerardo Ponce de León,
I.M.C., kuwa Askofu mpya wa jimbo la Manzini Swaziland. Hadi uteuzi huu alikuwa ni
Vika wa Kitume wa Ingvavuma. Na pia,Askofu Mteule Josè, Papa ameteua aendelee kuwa
Mtawala wa Kitume katika nafasi iliyo acha wazi, ya Vika mtawala wa Kitume wa Ingvavuma.