Watakatifu hawana wasiwasi hata wakidharuriwa, wasipoeleweka au kubaguliwa!
Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anasema
kwamba, watakatifu ni watu wanaomilikiwa barabara na Mwenyezi Mungu. Hawana wasiwasi
hata wakidharauriwa, wasipoeleweka au kubaguliwa!