Home Archivio
2013-10-27 08:18:55
Jitahidini kuishi utandawazi wa mshikamano!
Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anasikitika kusema kwamba, kwa bahati mbaya watu wengi wanashiriki katika utandawazi usiojali; watu sasa waanze kujitahidi kuishi utandawazi wa mshikamano!
All the contents on this site are copyrighted ©.