Msalaba ni kielelezo cha upendo unaoshinda ubaya na dhambi
Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anabainisha
kwamba, Msalaba si kielelezo cha kushindwa, bali ni ushuhuda wa Upendo unaoshinda
ubaya na dhambi.