Home Archivio
2013-08-26 13:41:09
Mungu kamwe hachoki kusamehe- Papa francisko
Papa siku ya Jumapili katika ujumbe wake kwa ukurasa wa Tweeter ,aliwahimiza watu wote kutoogopa kuomba msamaha kwa Mungu, kwa kuwa . Mungu kamwe hachoki kusamehe makosa yetu. Mungu ni huruma safi kamili.
All the contents on this site are copyrighted ©.