2013-08-24 11:25:48

Hali bado ni tete mjini Bangui


Viongozi mbali mbali wa Kanisa nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati, mwishoni mwa Juma walilazimika kuzikimbia Parokia na Nyumba zao za Kitawa kwa kuhofia usalama wa maisha yao baada ya Jeshi la Seleka kuanzisha mashambulizi katika maeneo kadhaa nchini humo.

Hivi karibuni kiongozi wa kikundi cha Waasi cha Seleka aliapishwa kuwa ni Rais wa Jamhuri ya watu wa Afrika ya Kati.







All the contents on this site are copyrighted ©.