Wakati huu macho na masikio ya waamini wengi yanapoelekezwa mjini Rio de Janeiro kwa
Maadhimisho ya Siku ya 28 ya Vijana Duniani kwa Mwaka 2013, Baba Mtakatifu Francisko
anawatakia vijana wote wanaoelekea Brazil, safari njema, Yesu Kristo awatangulie katika
hija hii ya imani.