Baba Mtakatifu Francisko anawaalika watumiaji wa mitandao ya kijamii kukumbuka kwamba,
Mwenyezi Mungu ni mwingi wa huruma kwa binadamu. Hii ni changamoto kwa waamini na
watu wenye mapenzi mema kujifunza kuwa na huruma, hasa zaidi kwa wale wanaoteseka!