Ombeni neema ya kuonesha masikitiko ya ndani kwa kutoguswa na mahangaiko ya jirani
zenu!
Baba Mtakatifu Francisko anawaalika watumiaji wa mitandao ya kijamii kumwomba mwenyezi
Mungu neema ya kuweza kuonesha masikitiko ya ndani kwa kutoguswa na mahangaiko ya
watu, kwa unyama unaojionesha duniani, lakini zaidi kwa ule ambao uko ndani mwao!