Baba Mtakatifu Francisko katika hija yake ya kwanza ya kichungaji kwenye Kisiwa cha
Lampedusa, Kusini mwa Italia, anawaalika watumiaji wa mitandao ya kijamii, kusali
kwa ajili mioyo itakayoonesha ukarimu kwa wahamiaji. Mwenyezi Mungu atamhukumu kila
mmoja wao, kadiri ya walivyowatendea wadogo na wahitaji katika Jamii.