Jengeni utamaduni wa kukaa kimya na kumsikiliza Mungu!
Mwenyezi Mungu anazungumza na waja wake kwa njia ya Maandiko Matakatifu. Mwaliko kwa
waamini kujifunza kukaa katika ukimya mbele ya Mungu na kufanya tafakari ya kina kuhusu
Injili. Ni changamoto inayotolewa na Baba Mtakatifu Francisko kwa watumiaji wa mitandao
ya kijamii.