Baba Mtakatifu Francisko anawakumbusha watumiaji wa mitandao ya kijamii kwamba, kila
mtu ni mdhambi, changamoto kwa kila mmoja wao kumwomba Kristo ili asiwe ni mnafiki!
Baba Mtakatifu anasema, mnafiki hawezi kufahamu maana ya huruma, furaha na upendo
wa Mungu!