Falsafa ya dunia hii inawasukuma wengi kukumbatia malimwengu!
Baba Mtakatifu Francisko anawaambia watumiaji wa mitandao ya kijamii kwamba, falsafa
ya ulimwengu inawasukuma watu kupenda kukumbatia zaidi: mafanikio, madaraka na utajiri;
Mwenyezi Mungu anawachangamotisha waja wake kutafuta unyenyekevu, huduma na upendo!