Kanisa ni Familia ya Mungu inayowaonjesha watu upendo
Baba Mtakatifu Francisko anawaambia watumiaji wa mitandao ya kijamii kwamba, katika
Maadhimisho ya Mwaka wa Imani, wamwombe Bwana ili Kanisa liweze kuwa daima ni Familia
ya kweli inayompatia kila mtu upendo wa Mungu.