Baba Mtakatifu Francisko anawakumbusha watumiaji wa mitandao ya kijamii kwamba, kina
mwamini katika undani wake kuna chembe ya kutoamini. Huu ni mwaliko wa kumwambia Kristo
kwamba, Bwana nina amini, nisaidie kwa kutokuamini kwangu!
Itakumbukwa kwamba,
hii pia ndiyo iliyokuwa kaulimbiu ya Maadhimisho ya Siku kuu ya Pentekoste, iliyofanyika
kama sehemu ya Maadhimisho ya Mwaka wa Imani.