Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii maarufu
kama twitter anawakumbusha kwamba, "Kondoo wangu waisikia sauti yangu, nami nawajua".
Sauti ya Yesu anasema Baba Mtakatifu ni ya pekee kabisa. Anawaongoza waamini katika
njia ya maisha.