Jumuiya ya Kimataifa yahimizwa kutoa haraka msaada kwa wahitaji Congo
Siku ya Jumatano, Papa Benedict XVI , alirudia kutoa wito wake , kwa ajili ya amani
katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Alirudia kutoa wito wake huku akionyesha
kujali wingi wa watu wanaoteseka kwa kukoseshwa, njia ya msingi za kujikimu kimaisha
na wengi wakilazimika kuyakimbia makazi yao , kutokana na wasiwasi wa vita