Askofu mkuu Luigi Pezzuto ateuliwa kuwa Balozi wa Vatican nchini Bosnia na Erzegovina
Baba Mtakatifu Benedikto wa kumi na sita, amemteua Askofu mkuu Luigi Pezzuto kuwa
Balozi wa Vatican nchini Bosnia na Erzegovina. Kabla ya uteuzi huu, Askofu mkuu Pezzuto
alikuwa ni Balozi wa Vatican nchini El Salvador na Belize.