Mchango wa Kanisa Katoliki Tanzania katika sekta ya elimu na afya!
Leo katika Studio za Radio Vatican, tunaye Askofu Gervas Nyaisonga wa Jimbo Katoliki
Dodoma, Tanzania anazungumzia kuhusu mchango wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania katika
sekta ya elimu na afya, kama sehemu ya mchakato wa Uinjilishaji wa kina, unaogusa
mahitaji ya mtu mzima kiroho na kimwili.