Masista wa Mgolole waadhimisha jubilee ya miaka 75. Masista wa Moyo safi wa Bikira
Maria, wa Mgolole Morogoro Tanzania, Jumatatu waliadhimisha miaka 75, - tangu kufunguliwa
kwa nyumba yao ya kutunza yatima na watu wahitaji. Ibada ya Misa kwa ajili ya
adhimisho la Jubilee hii, imeongozwa na Askofu Telephore Mkunde wa Jimbo la Morogoro.
Katika mahubiri yake , amesifu kazi za masista hao akisema