Baba Mtakatifu Benedikto XV1, Jumatano hii akitoa katekesi kwa mahujaji na wageni
waliokusanyika Vatican aliendelea kutoa mafundishojuu ya sala ya Muumini. Na aliangalisha
katika kitabu cha Ufunuo wa Yohane katiak agano jipya akisema, Kitabu cha Ufunuo
wa Yohane ni kati ya vitabu vigumu kueleweka , lakini kina utajiri mkubwa wa imani.