Maneno ya Dhihaka |
Maneno ya Imani |
Ewe mwenye kulivunja hekalu na kulijenga kwa siku tatu, jiokoe nafsi yako.
|
Hakika mtu huyu alikuwa Mwana wa Mungu. |
Ukiwa ndiwe mwana wa Mungu, shuka msalabani. |
Ee Yesu, nikumbuke utakapoingia katika ufalme wako. |
Aliokoa wengine, hawezi kujiokoa mwenyewe. |
|
Yeye
ni mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani, nasi tumwamini. |
|
Amemtegemea Mungu, na amwokoe sasa,
kama anamtaka, kwa maana alisema mimi ni mwana wa Mungu. |
|
Tazama, anamwita Eliya. |
|
Acheni;
na tuone kwamba Eliya anakuja kumtelemsha. |
|
Kama wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi,
ujikoe mwenyewe. |
|
Je, wewe si Kristo? Jiokoe nafsi yako na sisi. |
|