Baba Mtakatifu Francisko amekubali ombi la kujiuzulu kutoka huduma za Kichungaji kwa Jimbo Katoliki la Keta-Akatsi, Ghana, lililo wasilishwa na Askofu Anthony Kwami Adanuty kwa mujibu wa kanuni 401 § 1. Katika nafasi ya kiti hicho kilichobaki wazi, , Papa amemteua kuwa Msimamizi wa Kitume Askofu Emmanuel Fianu, S.V.D wa Jimbo Katoliki la Ho.
All the contents on this site are copyrighted ©. |