Askofu John Ebebe Ayah ateuliwa kuwa Askofu mpya Jimbo Katoliki la Uyo, Nigeria
Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu John Ebebe Ayah kuwa Askofu wa Jimbo Katoliki
la Uyo, Nchini Nigeria kwa kumhamisha kutoka Jimbo Katoliki la Ogoja, Nigeria. Wakati
huo huo, Baba Mtakatifu amemteua Askofu John Ebebe Ayah kuwa ni Msimamizi wa kitume
Jimbo Katoliki la Ogoja, Nigeria.