Papa Francisko anawatakia kheri wanamichezo wa Kombe la Dunia 2014
Wakati nyasi za viwanja vya michezo nchini Brazil zinaanza kuwaka moto kwa mashindano
ya Kombe la Dunia kwa Mwaka 2014, Baba Mtakatifu Francisko anawatakia wanamichezo
wote furaha na kwamba, wacheze wakisukumwa na moyo wa udugu!