Baba Mtakatifu amemteua kuwa msimamizi maalum wa Jimbo la Abeokuta, Nigeria, Askofu
Peter Kayode Odetoyinbo, Paroko na Mwakilishi Mkuu wa Jimbo Kuu la Ibadan. ยป
Mheshimiwa
Askofu Peter Kayode Odetoyinbo , alizaliwa katika Januari 28, 1964 katika Jimbo Kuu
la Ibadan. Baada ya kuhudhuria shule za msingi alijiunga na Seminari Kuu ya Watakatifu
Petro na Paulo ya Bodija , Ibadan, ambapo yeye alisoma falsafa na theolojia. Yeye
ndiye aliyeteuliwa Mkuu tarehe 7 Oktoba 1989 kwa ajili ya Jimbo Kuu la Ibadan.
Jimbo
la Abeokuta limekuwa wazi tangu Mei 25, 2012 , kufuatia uhamisho wa Askofu Alfred
Adewale Martins wa Jimbo Kuu la Lagos.