Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anawaalika
kwa namna ya pekee vijana kutoridhika na hali ya maisha walionayo kwa sasa. Anawataka
vijana waguswe na kile kilicho cha kweli na kizuri kutoka kwa Mwenyezi Mungu.