Askofu mkuu Charles Daniel Balvo ateuliwa kuwa Balozi wa Vatican nchini Sudan ya Kusini
Baba Mtakatifu Francisko, tarehe 21 Desemba 2013 amemteua Askofu mkuu Charles Daniel
Balvo, kuwa Balozi wa kwanza wa Vatican nchini Sudan ya Kusini. Askofu Balvo pia ni
Balozi wa Vatican nchini Kenya.