Papa aridhia uteuzi wa Kardinali Marc Ouellet kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Kipapa
kwa ajili ya Maaskofu
Baba Mtakatifu Francisko ameridhia uteuzi wa Kardinali Marc Ouellet kuendelea kuwa
ni Mwenyekiti wa Baraza la Kipapa kwa ajili ya Maaskofu pamoja na kufanya uteuzi wa
baadhi ya wajumbe wapya na wale wa zamani kuendelea na nyadhifa zao.
Kati
ya wajumbe wapya ni Kardinali Francisco Robles Ortega, Kardinali Donald William Wuer,
Kardinali Rubèn Salazar Gomes, Kardinali Kurt Koch, Kardinali Joao Braz de Aviz. Wengine
ni Askofu mkuu Pietro Parolin, Askofu mkuu Beniamino Stella, Askofu mkuu Lorenzo Baldisseri,
Askofu mkuu Vincent Gerard Nichols, Askofu mkuu Paolo Rabitti, Askofu mkuu Gualtiero
Bassetti pamoja na Askofu mkuu Felix Genn.