Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anasema
kwamba, kuishi Injili yaUpendo maana yake si mtu kutafuta masilahi yake binafsi na
badala yake watu wajitoe bila ya kujibakiza kwa ajili ya maskini na wanyonge katika
Jamii.