Askofu mkuu Santo Gangemi ateuliwa kuwa Balozi mpya wa Vatican nchini Guinea
Baba Mtakatifu Francisko amemteua Askofu mkuu Santo Gangemi, kuwa Balozi mpya wa Vatican
nchini Guinea. Kabla ya uteuzi huu, Askofu mkuu Gangemi alikuwa ni Balozi wa Vatican
nchini Papua New Guinea na Visiwa vya Solomoni.