Asanteni sana Wamissionari kwa huduma kwa Mungu na jirani!
Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii,
anapenda kuchukua fursa hii kuwashukuru Wamissionari wote; wake kwa waume wanaotekeleza
utume wao kwa ajili ya Kristo na Jirani zao bila ya kupiga makelele!