Wafuasi wa Papa Francisko katika twitter wametimia millioni 10!
Baba Mtakatifu Francisko katika ujumbe wake kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii anawashukuru
watumiaji wa mitandao hii ambao idadi yake imefikia millioni kumi. Anawaalika kuendelea
kusali kwa ajili ya maisha na utume wake.