Baba Mtakatifu Francisko anawaambia watumiaji wa mitandao ya kijamii kwamba, kuwa
Mkristo maana yake ni kujikana mwenyewe, kuchukua Msalaba na kuubeba pamoja na Kristo.
Hii ndiyo njia pekee ambayo mwamini anapaswa kuifuata na wala hakuna njia ya mkato!