Baba Mtakatifu Francisko tarehe 14 Novemba 2013 anatarajiwa kutembelea Ikulu ya Italia
kwa mwaliko kutoka kwa Rais Giorgio Napolitano wa Italia, kama sehemu ya mwendelezo
wa urafiki kati ya Rais Napolitano na Baba Mtakatifu, alipomtembelea mjini Vatican
hapo tarehe 8 Juni 2013.
Hayo yamesemwa na Padre Federico Lombardi, msemaji
mkuu wa Vatican.