Jumatatu , Baba Mtakatifu katika ujumbe kwa watumiaji wa mtandao wa kijamii wa Twitter,
ulihimiza kuomba amani: Amani duniani kote na ndani ya moyo wa kila mwanadamu.
Ni
ombi linaloenda sawia na maadhimisho ya miaka hamsini tangu kuchapishwa kwa waraka
wa Amani Duniani – Pacis in Terris wa Baba Mtakatifu Yohane XXIII.